Sun, 27 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii Nguli wa Nigeria Burna Boy amethibitisha kupata ajali usiku wa wa leo akiwa na gari yake aina ya Ferrari aliyonunua siku za hivi karibuni.
Msanii Nguli wa Nigeria Burna Boy amethibitisha kupata ajali usiku wa wa leo akiwa na gari yake aina ya Ferrari aliyonunua siku za hivi karibuni. Kupitia ukarasa wake wa Instagram, Burna Boy amesema kuwa anaendelea vizuri licha ya kupata maumivu kwenye mguu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: