Menu ›
Habari
Sat, 10 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati akisimama na kutoa matamshi makali juu ya aliekuwa mgombea Urais wa UKAWA, Edward Lowasa katika kampeni za uchaguzi za mwaka 2015.
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Moses Nnauye amefichua neno aliloambiwa na Lowassa mara tu baada ya kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.
Kupitia Kurasa zake za Mitandao ya Kijamii Nape ameandika;
“Nape, tumepishana kwenye siasa, lakini napenda mtu anayesimamia anachoamini hasa kwa umri wenu” Haya yalikuwa maneno ya Edward Lowassa tulipokutana mara tu baada ya uchaguzi wa 2015! PUMZIKA KWA AMANI KIONGOZI!
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles:
- Kisa cha Diana Chilolo kufuta namba ya Lowassa
- Tazama hapa msafara wa mwili wa Lowassa ukipelekwa Karimjee
- Shein, Sumaye waeleza uchapakazi wa Lowassa
- Picha: Matukio mbalimbali katika zoezi la kuaga mwili wa Lowassa
- Fredy Lowassa: Asingekuwa Rais Samia, baba asingefika juzi
- Read all related articles