Tue, 9 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tetesi zinadai kuwa Klabu ya Simba, imesitisha mpango wake wa kumsajili mshambuliaji, Cesar Lobi Manzoki hiyo ni baada ya Kocha Benchika kutoridhishwa nae
Tetesi zinadai kuwa Klabu ya Simba, imesitisha mpango wake wa kumsajili mshambuliaji, Cesar Lobi Manzoki hiyo ni baada ya Kocha Benchika kutoridhishwa nae Inatajwa kwamba Manzoki alikuwa kwenye hatua za mwisho kumalizana na Mnyama ila baada ya neno la Mwisho kutoka kwa kocha Benchikha wakaona waachane nae
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: