Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Will Smith apatiwa matibabu ya kuzuia hasira zake

Smith One Will Smith

Fri, 6 May 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mtandao wa Entertainment Tonight imethibitisha kuwa mwigizaji mashuhuri duniani Will Smith amekuwa akipata msaada na matibabu ya jinsi ya kumudu Hasira na hisia zake baada ya tukio la kumpiga kofi Mchekeshaji Chris Rock kwenye tuzo za Oscar March 27, 2022.

Hii inatajwa kuwa hatua ya kwanza ya Will Smith kujaribu kuonyesha watu kuwa amebadilika na anaweza kuendelea na kazi zake za kutengeneza filamu.

Kama ulipitwa, Will Smith alimchapa Kofi Chris Rock baada ya mchekeshaji huyo kutoa utani uliomkosesha raha mke wa Will Smith, Jada Pinkett Smith.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: