Mon, 23 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Max Nzengeli ameongeza mikimbio mingi kwenye eleo la katikati ya uwanja (eneo la kiungo) ni mchezaji ambaye anafanya wachezaji wengine kupata urahisi wa kupata mtu wa kumpasia.
Max kila anapokuwa na mpira anakuwa na urahisi wa kumuona mtu anaekimbia kwenye nafasi na kumpasia. Wakati mwingine hata akipasiwa mpira mgumu anaweza kuufanya kuwa mwepesi kwa timu kuendelea kucheza.
Lakini ongezeko la Fei toto kwa upande wa Azam linaweza kuongeza athari chanya kwa upande wa Azam FC.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: