Fri, 15 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Wydad kimeanza safari leo Desemba 15 kuifuata Simba Tanzania kwa ajili ya mchezo wa nne hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL)
Mechi hiyo inatarajiwa kuchezwa Desemba 19, 2023 katika Uwanja wa Mkapa saa 10:00 jioni.
Wydad ilipata ushindi wa kwanza baada ya kuichapa Simba bao 1-0 uwanja wa Marrakech, Morroco na kupanda hadi nafasi ya tatu na pointi tatu huku simba ikiwa mkiani na pointi mbili
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: