Mon, 2 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchambuzi wa soka, Wilson Oruma ametoa tathmini yake baada ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba dhidi ya Power Dynamos uliomalizika Kwa sare ya 1-1.
Amesema hajaridhishwa na kiwango walichoonyesha wachezaji wa Simba na hivyo wanatakiwa kujitathmini kwani wapo kwenye mashindano makubwa na magumu.
Msikilize Oruma hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: