Wed, 25 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Simba SC ikiwa imeondolewa katika Michuano ya African Football League kwa kanuni ya Bao la ugenini mbele ya Vigogo wa Afrika Al Ahly.
Mchambuzi wa Michezo kutoka TV E, Wilson Oruma amesema kuwa alifahamu mapema Simba hawatofika mbali kwenye michuano hiyo.
Akizungumza kupitia kipindi cha Number Ten, Oruma anasema;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: