Mon, 17 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati sakata wa Clatous Chama na Simba likichukua sura mpya kila kukicha, mchambuzi wa michezo kutoka EFM, Wilson Oruma ametoa maoni yake kitaalamu kuhusiana na sintofahamu ya mchezaji huyo na Klabu ya Simba.
Akizungumza Oruma amesema;
"Huu ni msimu ambao Simba wanapaswa kuonyesha wanaweza Kuishi bila Chama. Anawasumbua Kila msimu kwa sababu anajua hawawezi Kuishi bila yeye. Na hiki ni Kitu Kibaya sana kwa team kubwa kama Simba SC. Ni mchezaji mzuri sana, Lakini Muda wake Simba Umekwisha. "
Je Mwanamsimbazi una lipi la kuzungumzia kauli ya mzee wa jambia?Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: