Wed, 25 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba imetoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Al Ahly katika mchezo wa mkondo wa pili wa Robo Fainali ya Michuano ya Afrcan Football League.
Matokeo ya jumla ya mechi zote 2 ni magoli 3-3 na Simba ikajikuta inaondolewa kwa faida ya bao la ugenini.
Simba walipata bao katika mchezo wa jana lakini makosa madogo katika kujilinda walijikuta wanaruhusu bao la kusawazisha kwa Ahly.
Sasa Wilson Oruma anasema kulikuwa na uzembe katika bao waliloruhusu Simba na kuwagharimu kwa kiasi kikubwa.
Msikilize Oruma akieleza Kitaalamu hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: