Wed, 26 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba Queens kwa mara nyingine tena imeachana na nyota wake wawili mahiri.
Topister Situma na Philomena Abakah hawatakuwa katika kikosi cha Simba msimu ujao baada ya mikataba yao kumalizika.
Siku mbili zilizopita Simba Queens ilitangaza kuachana na Straika wake Jentrix Shikangwa alietimkia China.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: