Tue, 28 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Kocha Mkuu Mpya wa Simba SC, Abdelhak Benchikha kuwasili nchini akiwa na Kocha Msaidizi, Farid Zemiti pamoja na Kocha wa Viungo, Kamal Boudjenane.
Unashauri waanze na kipi katika kuiboresha zaidi Simba SC ambayo kwa sasa inaonekana kuvurigika kuanzia ndani ya uwanja mpaka kwa mashabiki?
Wakati ukitafakari hilo tambua Simba wana mchezo mgumu ugenini dhidi ya Jwaneng Galaxy hatua ya makaundi Ligi ya Mabingwa Afrika Disemba 2.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: