Tue, 13 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo Mshambuliaji wa Simba, Saido Ntibazonkiza amechaguliwa kuwa Kiungo Bora wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2022/23.
Kiungo Mshambuliaji wa Simba, Saido Ntibazonkiza amechaguliwa kuwa Kiungo Bora wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2022/23. Saido amejiunga na Simba katika dirisha dogo la Januari akitokea Geita Gold amefunga mabao 17 na kutoa pasi 12 za mabao msimu wa 2022/23.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: