Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

TETESI: Simba kushusha CEO mpya kutoka Sauzi, Kajula akubali yaishe

CEO Simba SC, Iman Kajula.jpeg CEO wa Simba, Imani Kajula

Mon, 15 Apr 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya Klabu ya Simba, juzi Jumamosi kilifanyika kikao kizito kutathimini mikakati na mwenendo wa klabu ya Simba ambayo kwa sasa imekuwa ikisua sua kupata matokeo.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya Klabu ya Simba, juzi Jumamosi kilifanyika kikao kizito kutathimini mikakati na mwenendo wa klabu ya Simba ambayo kwa sasa imekuwa ikisua sua kupata matokeo. Maamuzi yamefanyika tayari, Mtendaji Mkuu wa Simba, Imani Kajula amekubali kuachia nafasi yake na klabu inatarajia kuleta CEO mpya kutoka Afrika Kusini.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: