Wed, 13 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Stumai Abdallah ashinda tuzo ya mchezaji bora wa mechi ya fainali na mfungaji bora akiwa na mabao mawili kwenye mashindano Ngao ya Jamii 2023.
Stumai Abdallah ashinda tuzo ya mchezaji bora wa mechi ya fainali na mfungaji bora akiwa na mabao mawili kwenye mashindano Ngao ya Jamii 2023. Simba Queens ndio walioibuka Mabingwa wa Ngao ya Jamii 2023.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: