Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kabla ya kuanza hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) na Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) kwa msimu huu wa 23/24,
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) wametoa viwango vya ubora kwa ngazi ya vilabu barani Afrika, Hizi hapa klabu 10 bora.
1. Al Ahly (83 points)
2. Wydad AC (74 points)
3. ES Tunis (56 points)
4. Mamelodi Sundowns (51 points)
5. Raja Club Athletic (51 points)
6. Zamalek SC (39 points)
7. RS Berkane (37 points)
8. CR Belouizdad (36 points)
9. Simba SC (35 points)
10. Pyramids FC (35 points)
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: