Fri, 15 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba walikuwa na nafasi ya kumsajili Kiungo Mahiri wa Yanga, Maxi Mpia Nzengeli wakachelewa kufanya maamuzi Yanga wakapita nae.
Simba hawa hawa walikuwa wa kwanza kumuhitaji Stephane Aziz Ki Kisha Yanga wakapita nae.
Simba walikuwa kwenye nafasi mzuri kumnasa Shekhan Ibrahim mwisho wa siku Yanga wamepita nae na tayari tumesikia mambo mengi yaliyokwamisha usajili wa kinda huyo kwenda Msimbazi.
Simba wanatakiwa kuwa makini kwenye sajili zao. La sivyo wataendelea kuingia katika gharama kubwa zisizo za lazima.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: