Mon, 24 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Viwango vya ubora kwa Klabu vilivyotolewa na CAF 2022-2023 imevitaja vilabu vitatu vya Tanzania katika orodha hiyo, ambavyo ni
Simba SC
Yanga SC
Namungo FC
Katika orodha hiyo Simba SC imeshika nafasi ya tisa (9) wakati Yanga SC ikishika nafasi ya kumi na nane (18) kwa Ubora Afrika.
Tazama List Kamili hapa chini kisha tuambie umeiona Timu yako? iko nafasi ya ngapi?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: