Sat, 25 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba SC imeibuka na ushindi mwembamba wa goli 1-0 dhidi ya KMC mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Bao pekee la Simba SC katika mchezo wa leo limewekwa kimiani na Kiungo Mshambuliaji Said Ntibazonkiza 'Saido' dakika ya 3 ya mchezo.
Ushindi huo umeifanya Simba kufikisha alama 66 katika nafasi ya tatu sawa na Azam FC huku Si,mba akizidiwa kwa tofauti ya mabao 8.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: