Thu, 14 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally imetangaza kiingilio kwenye mechi yao ya nne hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca siku ya Jumanne Uwanja wa Benjamin Mkapa ambapo mzunguko Sh5000, VIP C Sh10,000, VIP B 20,000, VIP A 30,00 na cha juu ni Sh150,000.
Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally imetangaza kiingilio kwenye mechi yao ya nne hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca siku ya Jumanne Uwanja wa Benjamin Mkapa ambapo mzunguko Sh5000, VIP C Sh10,000, VIP B 20,000, VIP A 30,00 na cha juu ni Sh150,000.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: