Tue, 12 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Singida FG uliopangwa kuchezwa saa 1: 30 usiku umebadilishwa muda tena na hivyo utachezwa saa 2:15 usiku kwenye uwanja wa Azam Complex Chamazi.
Mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Singida FG uliopangwa kuchezwa saa 1: 30 usiku umebadilishwa muda tena na hivyo utachezwa saa 2:15 usiku kwenye uwanja wa Azam Complex Chamazi. Hapo awali Ofisa Habari wa Bodi ya Ligi, Karim Boimanda aliliambia mwanaspoti kuwa mchezo huo utachezwa saa 1:30 usiku.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: