Wed, 6 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Klabu ya Al Ahly SC ya Misri Mahmoud El khatib amesema Wamedhamiria kubeba mataji yote wanayoshiriki kimataifa ili kuikimbiza rekodi ya Dunia.
Mataji wanayoshiriki Al Ahly ya Kimataifa ni;
African Football League
CAF Champions league
FIFA Club World Cup
Katika Michuano ya African Football League Ahly watacheza na Simba SC Oktoba 20 huku Simba wakitamba kuiondosha Klabu hiyo Kongwe Barani Afrika.
Je, Simba watavuka kiunzi hiki kigumu? Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: