Sun, 17 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Simba SC kinatarajiwa kuwasili nchini kesho Jumatatu ya Septemba 18, 2023 kikitokea nchini Zambia katika ya mashindano ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika.
Kikosi cha Simba SC kinatarajiwa kuwasili nchini kesho Jumatatu ya Septemba 18, 2023 kikitokea nchini Zambia katika ya mashindano ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika. Simba imeanza hatua pili ya masindano hayo kwa kutoka sare 2-2 dhidi ya Power Dyamos hivyo inasubiri mchezo marudiano utakaopigwa Oktoba 1 ili kujihakikishia kutinga hatua ya makundi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: