Tue, 23 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba ipo katika harakati za kusuka upya kikosi chake na sasa imetua kwa beki na nahodha msaidizi wa timu ya taifa ya Rwanda Thierry Manzi ambaye kwa sasa yupo nchini Ubelgiji.
Manzi ni beki wa kati anayemudu kucheza namba nne na tano akitumia vyema miguu yote kwa ufasaha na anasifika kwa kukaba, kuanzisha mashambulizi na ni mkali wa kucheza mipira ya juu.
Hawa ni baadhi ya Wachezaji ambao wanapambiwa na klabu ya Simba ili kuzipata saini zao kwenye dirisha lijalo la uhamisho.
Zougrana Mohamed
Harvy Ossete
Richard Boadu
Morice Chukwu
Gatoch Panom
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: