Mon, 15 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba SC hii leo inatarajia kumtangaza Winga, Edwin Balua kama Mchezaji wao mpya akitokea Klabu ya Prisons akiwa ni usajili wa tatu kwenye dirisha hili.
Klabu ya Simba SC hii leo inatarajia kumtangaza Winga, Edwin Balua kama Mchezaji wao mpya akitokea Klabu ya Prisons akiwa ni usajili wa tatu kwenye dirisha hili. Taarifa zinasema, Simba haitaongeza Mchezaji mwingine baada ya utambulishi huo wa leo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: