Fri, 27 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba kesho itashuka dimbani kwa mara ya kwanza baada ya kutoka kumaliza michezo yake ya AFL walipotolewa dhidi ya Al Ahly.
Hadi hivi sasa kwenye Ligi Simba haijapoteza mchezo wowote katika michezo mitano iliyocheza ya Ligi.
Kesho itashuka dimbani dhidi ya mbabe wa klabu ya Yanga, klabu ya Ihefu, Je, Ihefu itaendelea kutembeza kichapo kwa wakubwa ? Au Yanga atalipiwa kisasi na mnyama kesho ?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: