Mon, 16 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kuelekea katika michezo ya African Football League inayotarajiwa kuanza kurindima Octoba 20 mwaka huu, hizi ni asilimia za uwezekano kwa timu shiriki kubeba Ubingwa.
Michuano hiyo inashirikisha timu nane (8) na nafasi zao ni kama ifuatavyo;
Mamelod Sundowns 23%
Al Ahly 21%
Wydad AC 18%
Esperance 14%
Petro Atletico 12%
TP Mazembe 5%
Simba 5%
Enyimba 2%
Mahesabu haya ni kwa mujibu wa Africa Soccer Zone. Je Unadhani wako sahihi? Tupe maoni yako Juu ya uwezekano wa Simba kuwa Bingwa wa Michuano hiyo
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: