Fri, 3 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba SC Tanzania ikiwa itaamua kutafuta kocha Mkuu atakayechukua nafasi ya Juma Mgunda anayekaimu nafasi hiyo kwa sasa, Flolent Ibenge wa Al Hilal anaweza kutazamwa kama mbadala halisi katika nafasi hiyo.
Mwandishi wa Habari, Micky jnr amedokeza kwamba tayari Ibenge amejadiliwa kuchukua nafasi hiyo.
Simba iliachana na Kocha wao Raia wa Algeria Abdelhak Benchikha mwishoni wa wiki iliyopita>
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: