Mwenyekiti wa matawi ya Simba SC mkoa wa Dar es Salaam Ramadhani Hamis amesema kuna wachezaji wanatuhumiwa kutumika upande wa pili ndiyo maana wachezaji wetu wakiwa Simba hawachezi vizuri lakini wakienda Yanga SC wanacheza vizuri na kuwa wachezaji muhimu.
Tazam Video hapa chini usikilize kwa kirefu;
#MICHEZO: Mwenyekiti wa matawi ya Simba SC mkoa wa Dar es Salaam Ramadhani Hamis amesema kuna wachezaji wanatuhumiwa kutumika upande wa pili ndiyo maana wachezaji wetu wakiwa Simba hawachezi vizuri lakini wakienda Yanga SC wanacheza vizuri na kuwa wachezaji muhimu.… pic.twitter.com/erwaHNt7MB
— EastAfricaTV (@eastafricatv) April 24, 2024