Sat, 2 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba SC leo asubuhi imecheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Kipanga FC ya Visiwani Zanzibar na kufanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-0.
Wafungaji wa mabao hayo ni; -Moses Phiri dakika 21' -Luis Miquisone dakika 41' -Aubin Kramo dakika 70'.
Huu ni mwendelezo wa Simba Sc kujiweka sawa kabla ya kwenda kwenye michuano ya kimataifa wakianza Power Dynamos ya Zambia kisha michuano ya African Football League.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: