Thu, 21 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba leo Desemba 21, 2023 imezindua Baraza la Ushauri la Wekundu hao wa Msimbazi lenye wajumbe 20 litaongozwa na Jaji mstaafu Thomas Mihayo kama Mwenyekiti wake na litakuwa na kazi ya kushauri uongozi wa Simba.
Klabu ya Simba leo Desemba 21, 2023 imezindua Baraza la Ushauri la Wekundu hao wa Msimbazi lenye wajumbe 20 litaongozwa na Jaji mstaafu Thomas Mihayo kama Mwenyekiti wake na litakuwa na kazi ya kushauri uongozi wa Simba. Wajumbe wa Baraza hilo ni viongozi wa zamani wa Simba ambao ni hazina kubwa katika maendeleo ya Klabu hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: