Wed, 17 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Simba kinatarajiwa kuanza mazoezi kesho kufuatia mapumziko ya baada ya mchezo wa Ijumaa dhidi ya Ruvu Shooting wakiibuka na ushindi wa 3-0 Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Kikosi cha Simba kinatarajiwa kuanza mazoezi kesho kufuatia mapumziko ya baada ya mchezo wa Ijumaa dhidi ya Ruvu Shooting wakiibuka na ushindi wa 3-0 Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Simba SC imebakiza mechi mbili za Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Polisi Tanzania na Coastal Union zote nyumbani, Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: