Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Simba 'Copy' ya Pacome hii hapa..!

Nbadala Pacome Simba Copy ya Pacome hii hapa..!

Thu, 7 Mar 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Moja ya eneo ambalo Yanga wanawazidi Simba katika misimu hii miwili ya utawala wao basi ni eneo la usajili ambapo Yanga Rais wao Injinia Hersi Said yuko mstari wa mbele katika usajilu.

Nini ambacho nataka kusema katika hili,angalia usajili wa Zidane wa Afrika Pacome Zouzoua namna ambavyo Wananchi Yanga wananufaika nae kwa msimu huu.

Angalia kiwango cha Max Nzengeli aliyefunga goli mbili dabi ya Kariakoo. Andiko hili lengo lake ni kuwapa mchongo katika dirisha la kubwa la usajili kwamba kuna dhahabu pale Asec Mimosas.

Kama Simba itawapendeza mnaweza kupata copy ya Pacome pale Asec Mimosas ambapo kuna kijana anaitwa Salifou Diarrasouba.

Kama utakuwa umeifuatilia vizuri Asec Mimosas katika hatua ya makundi ya CAFCL basi utagundua kipaji cha Salifou mwenye umri wa miaka 22. Huyu bwana mdogo ni copy ya Pacome Zouzoua.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: