Thu, 7 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Liverpool inaweza kumwachilia Mohamed Salah, msimu ujao ili kufungua njia kwa Kylian Mbappe.
Mbappe, mwenye umri wa miaka 24, ameeleza wazi nia yake ya kuondoka Paris Saint-Germain katika kipindi cha miezi 12 iliyopita, na kwa sasa anaweza kuondoka bila malipo kutoka klabu ya Ligue 1 ifikapo mwaka 2024.
Real Madrid wanaonekana kuwa mstari wa mbele kumsajili mshindi wa Kombe la Dunia, lakini pia uhamisho kwenda Ligi Kuu ya England unaweza kuwa chaguo la kuvutia kwa mshambuliaji huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: