Tue, 26 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya APR FC ya Rwanda imeonyesha nia ya kumsajili nyota wa kimataifa wa Burundi Saido Ntibanzokinza ambaye amebakiza miezi 6 kwenye mkataba wake na Simba SC.
Saido alisaini mkataba wa mwaka mmoja na nusu Disemba 2022 akitokea kwenye klabu ya Geita Gold.
Saido anahitaji mkataba wa miaka miwili lakini Simba hawapo tayari kumpa mkataba mpya wa muda huo nyota huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: