Fri, 14 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taarifa za kwamba Klabu ya Simba inatarajia kumtangaza Kocha Mbrazil,Jose Marcelo Cardoso kuwa Kocha Msaidizi wa Roberto Oliveira 'Robertinho' akichukua nafasi ya Juma Mgunda ambaye huenda akaachwa au akapewa timu ya Wanawake ya Simba Queens.
Robertinho kwa sasa anaonekana kuhitaji kufanya kazi na Timu ya wataalamu ambayo anaitaka yeye.
Mgunda hajasafiri na Timu kuelekea kambi Uturuki na inaelezwa atabadilishiwa majukumu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: