Mon, 7 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba SC itaanzia mechi ya Ligi Kuu Bara 2023/24 katika uwanja wa Manungu mkoani Morogoro Agosti 17.
Mechi ya mwisho Simba kucheza Manungu ilishinda mabao 3-0 yakifungwa na Jean Baleke msimu uliopita 2022/23.
Je unawapa ushindi au watakutana na kitu chenye ncha kali? Tuachie Commeny yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: