Thu, 5 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa klabu ya Tanzania Prisons kwa kushirikiana na baadhi ya wadau umetoa motisha katika timu yao ili kuepuka kichapo leo dhidi ya Simba.
Uongozi wa klabu ya Tanzania Prisons kwa kushirikiana na baadhi ya wadau umetoa motisha katika timu yao ili kuepuka kichapo leo dhidi ya Simba. Katika kikao hicho viongozi pamoja na wadau wametoa ahadi ya Tsh. 25 milioni kwa wachezaji endapo watapata Ushindi dhidi ya Simba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: