Mon, 6 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Power Dynamos ya nchini Zambia imeanza kuulizia upatikanaji wa mshambuliaji wa Simba SC, Mosses Phiri anaechezea kwenye klabu hiyo Kwa mkopo.
Klabu ya Power Dynamos ya nchini Zambia imeanza kuulizia upatikanaji wa mshambuliaji wa Simba SC, Mosses Phiri anaechezea kwenye klabu hiyo Kwa mkopo. Tetesi zinaeleza kuwa Moses Phiri mwenyewe hataki kurejea tena kwenye kikosi cha Simba SC anatamani kusalia ndani Power Dynamos na mkataba wake wa mkopo unamalizika mwishoni mwa msimu huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: