Wed, 7 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mpaka sasa kwa namna nilivyomuona Pa Omar Jobe anaonekana haitaji nafasi nyingi ili afunge, 9/10 mpira ukimkuta kwenye eneo karibu na lango utaukuta wavuni.
Freddy kamchukua mtu kifaza yani alafu kapiga kafunga kama hataki vile... Anajua mwenyewe alichokifanya pale.
Simba kama watampa ushirikiano wa kutosha basi wana nafasi ya kuwa na miongoni mwa washambuliaji wenye uwezo wa kufunga magoli.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: