Tue, 17 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati walio wengi wakijadili kiwango cha Mlinda mlango wa Simba raia wa Morocco Ayoub Lakred kuwa sio cha kuridhisa.
Kuna taarifa zinazodai kuwa Golikipa huyo yuko mguu nje mguu ndani katiuka kikosi cha Wekundu wa Msimbazi baada ya mabosi kutoridhishwa na kiwango chake.
Sasa Mchambuzi wa michezo kutoka Wasafi FM, Oscar Oscar amemkingia kifua golikipa huyo na kutaka apewe nafasi.
Akizungumza Oscar Oscar anasema;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: