Sat, 18 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo mshambuliaji wa zamani wa Simba, Augustine Okrah anakiwasha huko kwao Ghana Bechem United FC.
Okrah aliachana na Simba ambako muda mwingi alikuwa anauguza majeraha na kufikia hatua ya kuvunjiwa Mkataba.
Takwiku zake hizi hapa!
Mechi - 7
Magoli - 5
Tuzo ya Mchezaji bora kwa mechi - 1
Tanzania alikwama wapi?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: