Sun, 31 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa zamani wa Simba Abbas Kuka amefariki dunia usiku wa Jana Machi 30.
Nyota wa zamani wa Simba Abbas Kuka amefariki dunia usiku wa Jana Machi 30. Taarifa zinasema mchezaji huyo akitamba Simba miaka ya 1980 mpaka mwanzoni mwa 1990 amefikwa na umauti huo akiwa msikitini baada ya kuanguka alipotoka Msikitini usiku wa jana Magomeni Jijini Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: