Wed, 5 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Chama Kwa kugoma kwenda kambini Uturuki na wenzake, kusimamishwa na Timu katikati ya Msimu na kuusumbua uongozi kucheza akidai Mkataba wakati mkataba wake ulikuwa haujaisha basi @nasrikhalfan_ anaamini Chama alikuwa miongoni mwa walioifelisha Simba msimu uliopita.
Na wewe unakubaliana na Nasri ama unaamini Simba kuna tatizo lengine? Ni lipi?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: