Thu, 19 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kesho Oktoba 20 katika dimba la Mkapa Dar itapigwa mechi ya ufunguzi ya michuano mipya kwa ngazi ya klabu Afrika ikiitwa African Football League (AFL) ikianzia hatua ya robo fainali na wenyeji Simba SC wakiikaribisha Al Ahly ya Misri.
Kesho Oktoba 20 katika dimba la Mkapa Dar itapigwa mechi ya ufunguzi ya michuano mipya kwa ngazi ya klabu Afrika ikiitwa African Football League (AFL) ikianzia hatua ya robo fainali na wenyeji Simba SC wakiikaribisha Al Ahly ya Misri. Langoni Simba nani ungependa aanze na nani asubiri benchi? Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: