Sun, 8 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Simba kinashuka Dimbani muda mchache kutoka sasa katika Uwanja wa Liti Mkoani Singida.
Mchezo huo wa Ligi Kuu Bara mzunguko wa tano, unaishuhudia Simba ikitaka alama tatu kwa kila hali ili kurudi kileleni baada ya kushushwa na Azam na Yanga mpaka nafasi ya tatu.
Kwa upande wa Singida wanahitaji alama tatu ili kuhakikisha wanarudi katika nafasi za juu baada ya kuondoshwa katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Tazama vikosi vinavyoanza leo,
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: