Wed, 6 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba wanashuka Dimbani katika Uwanja wa Jamhuri Morogoro kuwakaribisha maafande wa Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Simba wametoka kufanya vyema katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa wakiichapa Jwaneng Glaxy mabao 6-0 na kufuzu hatua ya Robo Fainali.
Kikosi cha Simba SC kinachoanza dhidi ya Prisons
Manula
Kapombe
Israel
Inonga
Kennedy
Babacar
Ngoma
Mzamiru
Chama
FRED
Kibu D
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: