Sat, 23 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Simba kinarudi Dimbani leo katika Uwanja wa Chamazi kukipiga na KMC mchezo wa Ligiu Kuu Tanzania Bara.
Simba inaingia katika mchezo huo ikiwa na kumbukumbu nzuri baada ya kutoka kushinda mchezo mgumu dhidi ya Wydad mchezo wa Klabu Bingwa Afrika.
Simba inahitaji alama tatu hii leo mbele ya KMC ili kuweka hai matumaini ya kufukuzana na Azam vinara na Yanga.
Hiki hapa kikosi cha Simba kinachoanza mchezo wa leo;
Ayoub
Kapombe
Zimbwe Jr
Inonga
Che Malone
Ngoma
Kanoute
Saido
Kibu D
Onana
Bocco
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: