Thu, 16 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
“Wakati Simba wanamsajili Manula sisi Singida United tulishamsajili Manula akitokea Azam.
“Manula alikuja akaniambia tulishakubaliana kila kitu lakini nimepata ofa kutoka Simba na kwa kuwa Simba inashiriki mashindano ya Champions League naomba niende Simba.
“Ingekuwa chuki kama za mashabiki wasiokuwa wanamichezo tungemkatalia lakini tulimwambia nenda, Asante Kwasi ametoka hapa Nyumbani Kwangu kwende kusaini Simba akiwa tayari ameshasaini Singida akitokea Lipuli,” Waziri wa Fedha, na mdau wa michezo, Mwigulu Nchemba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: