Mon, 10 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo Mkabaji wa Coastal Union, Mtenje Albano ameomba kuondoka Coastal Union, huku ikielezwa yupo mbioni kutua Simba kuchukua nafasi ya Jonas Mkude aliyepewa ‘Thank You’.
Kiungo Mkabaji wa Coastal Union, Mtenje Albano ameomba kuondoka Coastal Union, huku ikielezwa yupo mbioni kutua Simba kuchukua nafasi ya Jonas Mkude aliyepewa ‘Thank You’. Nahodha huyo wa wagosi wa kaya ndiye mchezaji mkongwe aliyekuwa amebaki kwenye kikosi hicho.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: